Friday, November 1, 2013

Aishi kwa kunywa damu na maziwa kisha kujianika kuonyesha alivyonona!

Kwa mujibu wa Dialy Mail  katika kabila linaloishi pembezoni mwa Ethiopia, Omo Valley ndipo alipoonekana mwanaume anayefahamika kwa jina la Gorge anayekunywa damu na maziwa ya ng'ombe ili kupata taji la kuwa mwanaume mnene!

Miezi sita baada ya kuanza zoezi la kunywa damu ya ng'ombe na maziwa,mwanaume huyo ameonyesha muonekano wake.

Kwa wa-Ethiopia ukubwa wa mwili au mwanaume mnene ndio swaga..Na mshindi yaani mwanaume mnene huwa anachukuliwa ni bingwa kwa maisha yake yote!

1 comments:

  • November 1, 2013 at 8:08 AM
    Unknown Disse:

    THIS SOUNDS SO FUN HAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    delete

Post a Comment

 

UHONDO Copyright © 2011 -- Template created by O Pregador -- Powered by Blogger